Listening — IGCSE Swahili (0262) questions by topic
Listening questions in IGCSE Swahili cover what a speaker wants to do first, Ahmed's regrets such as not listening to his parents as a teenager, which activity a speaker enjoys for exam preparation, and how Ahmed came to work as an archaeologist, such as through digging caves or meeting a historian.
Identify, complete, state and give are the command words that recur, worth between 1 and 8 marks. This page holds 18 questions, all from 2025 papers. Listen through each recording in short bursts and submit your chosen answer for instant marking, so a missed name or reason is flagged straightaway rather than lost among a large set of similar questions.
May–June 2025, Paper 02
Utasikia vipande vinane vifupi vilivyorekodiwa. Jibu swali 1-8 katika nafasi uliyopewa. Majibu yako yawe mafupi iwezekanavyo. Utasikia kila rekodi mara mbili. Rukia alihamia Kenya…
Answer this question and get it marked →Nini sababu kuu ya kupenda nchi tambarare?
Answer this question and get it marked →Kwa nini Asha hakuenda kwenye maandamano?
Answer this question and get it marked →Msemaji ana hisia gani kuhusu shule ya zamani?
Answer this question and get it marked →Msemaji anapenda shughuli gani kujitayarisha kwa mitihani?
Answer this question and get it marked →Utamsikia msichana anazungumza kuhusu kundi la wanamuziki la watoto huko Uganda. Msikilize na malizia sentensi. Andika neno moja au maneno mawili tu katika kila nafasi. Utasikia…
Answer this question and get it marked →Utawasikia watu sita wakizungumza kuhusu malazi chuo kikuu. Oanisha wasemaji na mawazo katika orodha A-G. Kwa kila msemaji, andika herufi (A-G) katika mstari wa jibu. Tumia kila…
Answer this question and get it marked →Utasikia mahojiano katika redio kuhusu kazi ya mwanaakiolojia. Sikiliza mazungumzo hayo na soma maswali. Kwa kila swali chagua jibu sahihi kati ya A, B, au C. Weka alama ya tiki…
Answer this question and get it marked →Ahmed anasema kwamba wakati wake shuleni ulikuwa ... A sawa na watoto wengine. B mfupi kuliko ilivyotakiwa. C muhimu kumpa cheti.
Answer this question and get it marked →Ahmed aliona faida gani ya kazi yake ya kwanza? A Kujifunza somo muhimu kuhusu maisha. B Kuwasaidia wazazi kifedha. C Kusafiri kwingi ndani ya nchi.
Answer this question and get it marked →Ahmed alianza kazi ya mwanaakiolojia kutokana na ... A kuchimba mapango. B kuandika kitabu. C kukutana na mwanahistoria.
Answer this question and get it marked →Katika uchimbaji wake wa kwanza, Ahmed ... A alifurahia. B alichoka. C alishangaa.
Answer this question and get it marked →Falsafa ya mwanahistoria ni ... A kufanya kazi kwa bidii. B kufundisha kizazi kijacho. C kuwa maarufu.
Answer this question and get it marked →Athari ya mwanahistoria kwa Ahmed ni ... A motisha ya kujiendeleza. B alimfundisha nadharia. C alimfundisha jioni.
Answer this question and get it marked →Majuto ya Ahmed ni ... A kutoendelea na elimu utotoni. B kutowasikiliza wazazi alipokuwa kijana. C kuacha mshahara wa ubaharia.
Answer this question and get it marked →